iqna

IQNA

IQNA – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amemsifu Shahidi Rais Ebrahim Raisi kama mtumishi wa umma aliyejitolea, ambaye unyenyekevu wake na kujituma bila kuchoka kwa ajili ya watu vilimtofautisha na wengine.  
Habari ID: 3480714    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/20

Maombolezo
IQNA-Waislamu nchini Tanzania wameshiriki katika kikao cha kumuomboleza na kumuenzi Shahidi Ebrahim Raisi, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran aliyekufa shahidi Jumapili iliyopita katika ajali ya helikopta akiwa na wenzake akiwemo Waziri wa Mambo ya Nje Hossein Amir-Abdollahian.
Habari ID: 3478883    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/25

Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
IQNA- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Sayyid Ebrahim Raisi amekufa shahidi akiwa na wenzake kadhaa katika ajali ya helikopta iliyotokea jana katika mkoa wa Azarbaijan Mashariki, kaskazini magharibi mwa Iran.
Habari ID: 3478852    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/20